Walungu jambo kwenu nyinyi wazazi ,wandugu, wa kuu na wadogo zetu. Leo Niko na furaha kuona Mungu anaendeleya kuinuwa eklezya na kanisa za dini zinazo kuwa kwetu walungu , mina kuya huku siyo ku lomba ma sauti lakini kuwaambia kama nili kubali munitume kusudi ni watetee, nyinyi wenye mulikubali kunituma namimi Nina kubali sasa kwenda muni weke sasa pale ambako ndakuwa ku wateteya. Muliona gisi nilitumika katika hali za mateso nili watumikiya na nitaendeleya ku wa teteya mpaka mwisho. Walungu sasa muonyeshe kama kweli kufika yenu hapa siyo kukamata ma makuta lakini kunipa mitindo yenu nda tembeleya.

Accueille du Vic presdt. Du parti FNRC Force Nationale de Renaissance Congolaise à Walungu par ses chefs Mobilisateurs Territoriale et des sections


Niko mtoto wenu uku njoo kwetu