#UCHAGUZI 2023.

Aja ya wa kongomani !

Itakuwa kweli raha kwetu sisi wana inchi ya Congo kumupa raïs wetu madaraka ya kuongonza inchi Mungu aliyo tupa.

Tangu ma babu zetu inchi hii ili shambuliwa na wanyanganyi kwa kuleta mauwaji na matengano katikati yetu, Ila neema ya Mungu ilifanya kazi kwetu. M

Muheshimiwa Docteur OMBENI BALAGULA ELISHA Raïs wa chama ya FNRC ametowa ujumbe kwa wana inchi wote kuligana na kazi yake bwana Félix Antoine tshisekedi Tshilombo anayo fanya sehum ya kusini na kaskazini kwa kupiganisha usalama mudogo, leo hii tunaona sasa raïsi mkongomani hatuna Aja tena ya Wale wanao itaji kuleta vita,mauwaji,ubakaji na uporaji wa Mali ya Kongo.

Laisser un commentaire

Concevoir un site comme celui-ci avec WordPress.com
Commencer